Mwenye ufahamu na hili, please

Mwenye ufahamu na hili, please

samvj

New Member
Joined
Apr 17, 2014
Posts
2
Reaction score
0
Please wana Jf, napenda kufahamu kwa anaefahamu utumishi huchukua muda gani mpaka kutoa barua za kuwapangia vituo vya Kazi wale waliofanikiwa kupata nafasi za Kazi husika.

Nawasilisha
 
najua
tayar ktuo cha kazi, wakijua,so simpo kama upo dar.jma tatu nenda
sekretariat ukachukue barua ya kuripot la kama upo mkoan fanya fasta
ukafuate barua sekr.ukikaa hazj ngu!wanatuma ile ya kituon tu.so
utachelewa.na nina uhakika na hlo cos mwez dec.mm nilikuwa hvo,na hata h leo si ajabu watu wanapata barua pale.
 
OK,nashukuru kwa ushauri mkuu,nitafanya hivyo kesho
 
Mkuu je sis wamkoani itakuwaje,tafadhal naomba ushaur!
 
Ya kusubr mkoan unachelewa wakat kuna cku za mwsho kuripot,so mm nawashaur hata kama upo mkoan safr wk ijayo uchukue barua yako sekr.il hata kuwekwa pay ral uwah.kupata mshko.
 
Mdau ni kweli lkn barua ya kuitwa kazini tu tena ya sekretariat ya ajira ukiripoti kituoni kwako wananza kushghlikia pay rol sio mpaka upewe barua ya ajira ?
 
huezi kuchelewa kurepoti mkuu mana barua zote zina tarehe na kule utumishi wanaelewa hlo,binafsi nlipata kazi nov 2012 nlipata barua des na nlipokelewa vizuri tu na hatimae wizara yangu january 2013 ilinipangia kituo cha kazi hapa,km una nauli ifute dar km huna nauli subir tu mkuu,afu isitoshe utumishi hawatumi barua moja kwa siku ila zikiwa tayari zote ndiyo zinatumwa kwa pamoja,ushauri wangu vumilia tu mkuu utaipata hpo hakuna kuchakachua kamanda
 
jaman atawezaje pata bar.ya ajira bla ya sekr.me nimemshaur kwa mantk ya yeye awah kuingzwa kwe paylow kwan akichelewa itampa shda kuwekwa kwe payraw kwa wakat akajikuta anasufa sana,wale jamaa bar.huwa wanachelewesha
 
Nendeni tume ya ajira mkachukue barua zenu ndio mkaripoti katika kituo chako walioajiriwa mwezi october barua zao ziliandikwa twangu 29 oct 2014 wamepata barua dec tena baada ya kwenda utumishi kufatilia barua jiongezeni
 
Back
Top Bottom