Tulia hapo hapo.... Huo mchezo umefutwa na TCU mwaka huuHabari wanajamvi;
Nataka nisome foundation course ili niende chuo kikuu mwakani, nani mwenye uelewa wa hizo kozi anisaidie mawazo tafadhali.
Ndio mkuuVipi kurisit advanced MTU analisit masomo yote