Mwenye tetesi Mchakato TRA

Joined
Jun 14, 2014
Posts
73
Reaction score
33
Wana JF mwenye tetesi juu ya nafasi za kazi zilizotangazw na TRA vip majina yanatok lini
 
Huwa mda c mrefu mpaka lini sasa watu wanataka mambo fasta fasta wajue kingine cha kufanya, sasa mambo ya kuwekana pending sio michongo bhana watoe sisi tunataka tujue our direction...!!
 
Interview yenyewe ilikuwa ngumu, namshukuru Mungu nimetwa oral baada ya aptitude
 
duuh ss wats true wameashaitwa au bdo kila mtu na lake
 
Zidi kumuomba Mungu,yeye ndiye akisema kazi ni yako hata aje mtu gan hakuna anayeweza badilisha,endelea kuomba usikate tamaa,
 
Naomba mmeanza kuleta michezo ya bata humu cku izi na kulifanya jukwaa liwe si sehemu ya kupata updates tena..! mbona mnaleta utani kwenye mambo ya msingi mmekosa kazi ya kufanya....., kuweni serious bhana!!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…