wakuu kueni wapole watatoa tu jifanye kama umesahau inaweza kukondesha ii kituu inatia stress hasa kwa sisi tusiojiweza Mungu atasaidia mtapata hua ni bahati unaweza kua na vigezo vyote na ukakosa
wakuu kueni wapole watatoa tu jifanye kama umesahau inaweza kukondesha ii kituu inatia stress hasa kwa sisi tusiojiweza Mungu atasaidia mtapata hua ni bahati unaweza kua na vigezo vyote na ukakosa
aisee mimi sijapata kuelewa pahala.............! nimeingia kwenye account na nilichokikuta ni kwamba your not selected in both bach 1 and 2. swali....... sasa kama bach 3 imetoka kwann wakomee kuandika bach 1&2
aisee mimi sijapata kuelewa pahala.............! nimeingia kwenye account na nilichokikuta ni kwamba your not selected in both bach 1 and 2. swali....... sasa kama bach 3 imetoka kwann wakomee kuandika bach 1&2
aisee mimi sijapata kuelewa pahala.............! nimeingia kwenye account na nilichokikuta ni kwamba your not selected in both bach 1 and 2. swali....... sasa kama bach 3 imetoka kwann wakomee kuandika bach 1&2