Pantomath
JF-Expert Member
- Jan 4, 2019
- 789
- 3,230
Vodacom umekuwa mtandao wa ajabu sana. Huduma ya msingi kama M-Pesa mtu ana shida anataka aongee na mhudumu moja kwa moja tena haraka, nyie mnaturekodia kijikatuni chenu kinaongea mambo yake. Halaf kikimaliza kuropoka simu inakata.
Mbona zamani ilikuwa rahisi?
Mimi nimetuma hela (tena hela kubwa tu) niliyemtumia anasema bado hajaipata na mimi pia message ya muamala haijaja mpaka sasa, napiga kwenu mnanipa miongozo iliyokaririwa kwenye simu.
Eti kinakuambia 'Futa message kwenye simu ndio utaletewa message ya muamala simu itakuwa imejaa'
Mmeambiwa natumia Itel inayojaa message tatu? Are you serious? Hamna siku mmenichefua kama leo. Na ole wenu pesa yangu ipotee.
Ndugu naombeni namba ya hawa binadamu. Usiniambie 100 maana ndio niliyopiga.
Mbona zamani ilikuwa rahisi?
Mimi nimetuma hela (tena hela kubwa tu) niliyemtumia anasema bado hajaipata na mimi pia message ya muamala haijaja mpaka sasa, napiga kwenu mnanipa miongozo iliyokaririwa kwenye simu.
Eti kinakuambia 'Futa message kwenye simu ndio utaletewa message ya muamala simu itakuwa imejaa'
Mmeambiwa natumia Itel inayojaa message tatu? Are you serious? Hamna siku mmenichefua kama leo. Na ole wenu pesa yangu ipotee.
Ndugu naombeni namba ya hawa binadamu. Usiniambie 100 maana ndio niliyopiga.