Mwenye mabembea aniuzie..

talentbrain

JF-Expert Member
Joined
Oct 5, 2009
Posts
1,187
Reaction score
760
Habari kwenu wajasiliamali. Naomba niende kwenye mada moja kwa moja.
Natafuta mabembea aina tatu kama ifuatavyo.....1. Bembea la kuninginia watoto watatu hadi watano kwa wakati. 2. La kuzunguka la viti vinne. 3. La kutereza

Mabembea haya yawe ya viti vya plastic na yasiwe ya kuchomelea.


Ahsanteni
 
Nenda pale Victoria karibu na Yale majengo ya jeshi la egpty wanauza
 
Habari kama hizi? Tunatengeneza zote utakazo, njoo inbox or call 0765696086
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…