mwenye elimu ya muziki naomba msaada

mwenye elimu ya muziki naomba msaada

vamda

JF-Expert Member
Joined
Aug 1, 2012
Posts
919
Reaction score
598
Ndugu wana jamvi. Hivi karibuni nimepata kinanda aina ya CASIO CTK 530, lakini sijui jinsi ya kukitumia. Mwenye elimu ya muziki naomba msaada wa jinsi ya kupiga kinanda. Nawasilisha.
 
Sijui unataka kujua kiasi gani. Kama unataka kuwa mtaalam kiasi au kamili nakushauri uende kwenye baraza la muziki Tanzania pale utapata waalimu kufikia hatua unayotaka. Zamani kuna mahali walikuwa wanaita Music Consevatoire of Tanzania ilikuwa ghorofa ya juu ofisi za Boti zakwenda Zanzibar, Boti za bakhresa.
 
Back
Top Bottom