Uvundo80
JF-Expert Member
- Jun 15, 2017
- 280
- 256
Habari Jf
Katika hufuma hii ya usafiri huu wa mwendokasi kutokea kituo cha Mbezi mpaka Kimara. Katika kituo cha Mbezi bei elekezi ya nauli in shilingi za kitanzania mia NNE 400/= uwe unakwenda kimara au unatoka Kimara bei ni hiyo hiyo.
Ajabu ni katika kituo cha Mbezi hawa vijana wamegeuza chanzo mbadala cha mapato badala ya mia NNE 400/= wao hutoza mia tano 500 /= kwa kigezo na kisingizio kuwa chenji hawana kitu ambacho sio kweli hasa ukizingatia huwa wanahudumia wateja wao kwa fedha taslim ya mia sita na hamsini 650/= ...
Iweje chenji wasiwenayo?
Kama ni hivyo halalisheni bei iyo ya mia 500 kuliko kufumbia macho mianya ya watu wachache kuibia wananchi wao na kujinufaisha...
Sent using Jamii Forums mobile app
Katika hufuma hii ya usafiri huu wa mwendokasi kutokea kituo cha Mbezi mpaka Kimara. Katika kituo cha Mbezi bei elekezi ya nauli in shilingi za kitanzania mia NNE 400/= uwe unakwenda kimara au unatoka Kimara bei ni hiyo hiyo.
Ajabu ni katika kituo cha Mbezi hawa vijana wamegeuza chanzo mbadala cha mapato badala ya mia NNE 400/= wao hutoza mia tano 500 /= kwa kigezo na kisingizio kuwa chenji hawana kitu ambacho sio kweli hasa ukizingatia huwa wanahudumia wateja wao kwa fedha taslim ya mia sita na hamsini 650/= ...
Iweje chenji wasiwenayo?
Kama ni hivyo halalisheni bei iyo ya mia 500 kuliko kufumbia macho mianya ya watu wachache kuibia wananchi wao na kujinufaisha...
Sent using Jamii Forums mobile app