tamimusalim JF-Expert Member Joined Jun 17, 2014 Posts 1,822 Reaction score 499 Nov 24, 2015 #1 Tunasema haya ndio matumizi sahihi ya kodi zetu!!! Hongera Magufuli
The Monk Platinum Member Joined Oct 12, 2012 Posts 20,318 Reaction score 46,060 Nov 24, 2015 #3 Korosho zenyewe sio za supermarket!
Lumbi9 JF-Expert Member Joined Oct 12, 2014 Posts 8,738 Reaction score 12,428 Nov 24, 2015 #4 Hiyo ndo lishe sasa
J jipange JF-Expert Member Joined Oct 13, 2012 Posts 209 Reaction score 44 Nov 24, 2015 #5 Huu.ni usanii wa muda mfupi tu kwakuwa nchini ipo katika hali mbaya kifedha. Nitaamin pale kama ikiendelea kwa miaka 3. Lakin si sasa.
Huu.ni usanii wa muda mfupi tu kwakuwa nchini ipo katika hali mbaya kifedha. Nitaamin pale kama ikiendelea kwa miaka 3. Lakin si sasa.
Deo Corleone JF-Expert Member Joined Jun 29, 2011 Posts 17,023 Reaction score 13,370 Nov 24, 2015 #6 jipange said: Huu.ni usanii wa muda mfupi tu kwakuwa nchini ipo katika hali mbaya kifedha. Nitaamin pale kama ikiendelea kwa miaka3. Lakin si sasa. Click to expand... Uamini sasa, uamini badae, haisaidii. Hata usiiamini milele.
jipange said: Huu.ni usanii wa muda mfupi tu kwakuwa nchini ipo katika hali mbaya kifedha. Nitaamin pale kama ikiendelea kwa miaka3. Lakin si sasa. Click to expand... Uamini sasa, uamini badae, haisaidii. Hata usiiamini milele.
idoyo JF-Expert Member Joined Jan 13, 2013 Posts 3,051 Reaction score 1,423 Nov 24, 2015 #7 Wangeweka karanga au biskuti, korosho ghali sana!
tamimusalim JF-Expert Member Joined Jun 17, 2014 Posts 1,822 Reaction score 499 Nov 24, 2015 Thread starter #8 idoyo said: wangeweka karanga au biskuti, korosho ghali sana! Click to expand... Duuu !! Hata korosho mnaona ufisadi umetumika😀😀😀😀duuu watanzania noma
idoyo said: wangeweka karanga au biskuti, korosho ghali sana! Click to expand... Duuu !! Hata korosho mnaona ufisadi umetumika😀😀😀😀duuu watanzania noma
V vasilisa mzuri Senior Member Joined Jul 9, 2013 Posts 113 Reaction score 55 Nov 24, 2015 #9 Kwanza wamshukuru anawasaidia kupunguza magonjwa ya kujitafutia
V vasilisa mzuri Senior Member Joined Jul 9, 2013 Posts 113 Reaction score 55 Nov 24, 2015 #10 Nampa pongezi kwa kutambua hazina hakuna kitu na kuchukua hatua kukabiliana na hiyo hali. Waliopita walikuwa majanga. Hata majumbani kwetu hali ikiwa ngumu tunafunga mikanda na kujibana. jipange said: Huu.ni usanii wa muda mfupi tu kwakuwa nchini ipo katika hali mbaya kifedha. Nitaamin pale kama ikiendelea kwa miaka3. Lakin si sasa. Click to expand...
Nampa pongezi kwa kutambua hazina hakuna kitu na kuchukua hatua kukabiliana na hiyo hali. Waliopita walikuwa majanga. Hata majumbani kwetu hali ikiwa ngumu tunafunga mikanda na kujibana. jipange said: Huu.ni usanii wa muda mfupi tu kwakuwa nchini ipo katika hali mbaya kifedha. Nitaamin pale kama ikiendelea kwa miaka3. Lakin si sasa. Click to expand...
idoyo JF-Expert Member Joined Jan 13, 2013 Posts 3,051 Reaction score 1,423 Nov 24, 2015 #11 tamimusalim said: Duuu !! Hata korosho mnaona ufisadi umetumikaduuu watanzania noma Click to expand... hahaah!! hata hayo maji bei ghali, wangeweka uhai, maisha, afya, au ya viroba kabisa. safari hii hatutaki mchezo
tamimusalim said: Duuu !! Hata korosho mnaona ufisadi umetumikaduuu watanzania noma Click to expand... hahaah!! hata hayo maji bei ghali, wangeweka uhai, maisha, afya, au ya viroba kabisa. safari hii hatutaki mchezo
J jipange JF-Expert Member Joined Oct 13, 2012 Posts 209 Reaction score 44 Nov 24, 2015 #12 Deo Corleone said: Uamini sasa, uamini badae, haisaidii. Hata usiiamini milele. Click to expand... Tulishaona usanii wa jk alipo anza kaz ndio mana nasema ivi.
Deo Corleone said: Uamini sasa, uamini badae, haisaidii. Hata usiiamini milele. Click to expand... Tulishaona usanii wa jk alipo anza kaz ndio mana nasema ivi.
Mzizi wa Mbuyu JF-Expert Member Joined May 15, 2009 Posts 7,467 Reaction score 7,259 Nov 24, 2015 #13 idoyo said: wangeweka karanga au biskuti, korosho ghali sana! Click to expand... Kweli itabidi tumweleze Dr Magu...!! Karanga tu zingewatosha! Ila hapo ilikuwa inapigwa mikuku!! sahani moja elfu 30!!
idoyo said: wangeweka karanga au biskuti, korosho ghali sana! Click to expand... Kweli itabidi tumweleze Dr Magu...!! Karanga tu zingewatosha! Ila hapo ilikuwa inapigwa mikuku!! sahani moja elfu 30!!
idoyo JF-Expert Member Joined Jan 13, 2013 Posts 3,051 Reaction score 1,423 Nov 24, 2015 #14 Mzizi wa Mbuyu said: Kweli itabidi tumweleze Dr Magu...!! Karanga tu zingewatosha! Ila hapo ilikuwa inapigwa mikuku!! sahani moja elfu 30!! Click to expand... :A S thumbs_up:
Mzizi wa Mbuyu said: Kweli itabidi tumweleze Dr Magu...!! Karanga tu zingewatosha! Ila hapo ilikuwa inapigwa mikuku!! sahani moja elfu 30!! Click to expand... :A S thumbs_up:
Real One JF-Expert Member Joined Jun 26, 2014 Posts 2,158 Reaction score 1,873 Nov 24, 2015 #15 Maji tu yalikuwa yanatosha
Wapoti JF-Expert Member Joined Aug 28, 2013 Posts 2,824 Reaction score 1,099 Nov 24, 2015 #16 Yaani baada ya muda barua za kujiuzulu zitakuwa nyingi sana.
Msarendo JF-Expert Member Joined Jan 29, 2011 Posts 10,888 Reaction score 7,079 Nov 24, 2015 #17 karanga hizo, sema zimepekechuliwa
tamimusalim JF-Expert Member Joined Jun 17, 2014 Posts 1,822 Reaction score 499 Nov 24, 2015 Thread starter #18 Wapoti said: Yaani baada ya muda barua za kujiuzulu zitakuwa nyingi sana. Click to expand... Nasie tupate uwazir mkuu
Wapoti said: Yaani baada ya muda barua za kujiuzulu zitakuwa nyingi sana. Click to expand... Nasie tupate uwazir mkuu
Wapoti JF-Expert Member Joined Aug 28, 2013 Posts 2,824 Reaction score 1,099 Nov 24, 2015 #19 tamimusalim said: Nasie tupate uwazir mkuu Click to expand... Na tutaupata kweli kwa sababu wengi wanaoulilia ni kwa manufaa yao tu. Kwa sasa ni kazi tu ulaji ni ulivyojipanga. Watajiuzulu kwa pressure.
tamimusalim said: Nasie tupate uwazir mkuu Click to expand... Na tutaupata kweli kwa sababu wengi wanaoulilia ni kwa manufaa yao tu. Kwa sasa ni kazi tu ulaji ni ulivyojipanga. Watajiuzulu kwa pressure.
S sawabho JF-Expert Member Joined Feb 25, 2011 Posts 5,289 Reaction score 3,125 Nov 24, 2015 #20 Ukawa watakuwa wanafurahi huu utendaji maana Sera yao inatekelezwa kwa vitendo