Habari nyingi miaka na hasa siku za karibuni ni ajali na vifo vinavyotokana na ajali na sababu kubwa ni mwendo kasi. Hivi kwani waendesha magari wanakimbilia wapi? :A S 13:
Ni kweli...madereva wengi wanapenda kukimbia sana wakati magari na barabara zetu si nzuri....ninashauri mtu usizidi speed 120 highway maana kwa speed hiyo angalau unaweza kucontrol gari