wasiwasi ni akili mkuu..Nina mtu wangu hapa binti flani hivi tuna almost mwaka na miezi tangu tuanze uhusiano ,Mwanzoni akaniambia dear mdogo wangu karudishwa shule anadaiwa ada naomba niongezee laki 5 nimekwama,nikampa hyo laki 5,sasa ikawa ndio fungulia dimba sasa ni kila week yeye kafulia tu na hapo ameajiriwa serikalini.Nikisema nihesabu hela niliotoa huwa najiuliza huyu mtu tutawezena kweli ndani??Siku ukimpa hela utaitwa majina yote mazuri ya mapenzi,Sasa juzi nimemlipia mchango wa harusi,hata cjatulia nadaiwa tena hela ya kula,nikamuahidi nitampa ila channel zimegoma sasa ile kumwambia mambo sio mazuri asubirie amenuna na tumegombana nnahisi nimdelete tu maana sitaki Gold digger mimi.