Mwanaume ni nani?

Hivi humu hakuna wanaume?
Au wanasoma na kujipima then wnasepa!!!!
Tupo, tumesoma, tumejipima na tumeona kwa kiwango kikubwa tunayatimiza hayo, tunaacha asilimia ndogo tu kwa sababu sisi ni binadamu.
 
Thats de BLAZE...MAN2MAN katika kuzisaka doo na kuamini anaweza yote...Kama umeiona leo yako that means kesho ni ya MAULANA., Men Hustle hard
 
Mwanaume
1.hamfokei mke
2. Hampigi mke
3. Hatumii vilevi Wala bangi
4. Havuti sigara
5. Mpole
 
What a lovely Fairy tale!!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…