Wanawake wasomi MNA shida sana kwenye Ndoa. Ndio maana nilichaguliwa mtaani Demu wa kawaida tu, nsmuachia ATM anachukua salary naikuta home fresh, anatekeleza km tulivyokubaliana. Watoto wanaenda SHULE, tunafuga kwa saàna.
Ila nina mchepuko msomi, una hela lkn chenga nyingi.