Mwanaume kuchukua mshahara wa mke

Hiyobiashara ambayo yeye haijui!
Story yake ndio tatizo ajaweka wazi kwamba ela anataka kufanyia nini... na kama umeelewa huyu mtu hafai kuwa kwenye ndoa manake uwez lalamika eti mume anachukua mshahara wako... ni ubinafsi tu
 
Story yake ndio tatizo ajaweka wazi kwamba ela anataka kufanyia nini... na kama umeelewa huyu mtu hafai kuwa kwenye ndoa manake uwez lalamika eti mume anachukua mshahara wako... ni ubinafsi tu
Sijawahi fanya hicho kitu toka nianze kulipwa. Hizo ni dalili za kupenda kulelewa na mwanamke. Yaani mwanaume umeishiwa mbinu za kuongeza kipato mpaka uanze kufuatlia mshahara wangu!?
 
Unajua kwenye mkataba wako wa kazi kuna kifungu kinachosema mshahara ni siri ya wewe na mwajili wako haipaswi kuzungumzia na mtu mwingine? Kwanza ni nyege gani zilikupata ukampa password yako? Mimi demu wangu sitaki nijue anaingiza shs ngapi wala anaweka wapi maybe itokee nimekwama ndio naomba aniazime napo huwa sirudishagi kwa kweli
 
Like your post
 
Sijawahi fanya hicho kitu toka nianze kulipwa. Hizo ni dalili za kupenda kulelewa na mwanamke. Yaani mwanaume umeishiwa mbinu za kuongeza kipato mpaka uanze kufuatlia mshahara wangu!?
Basi kaa ujue unamwenzako pembeni anakusaidia kutimiza majukumu ya uanamke... la sivyo uliingia kwa ndoa kwa kutokupenda au uliona ni muda umefika wa kuolewa... nini maana ya uwazi sasa? Kuoana/kuoa wasomi kazi sana!!
 
Umeshasema demu wako
Huyu ni mke wa mtu kuna utofauti hapo
inaonesha kuna jambo ambalo limefanya mmewe azchukue kilazima
aweke upande wa pili tujue
 
sifanyii upuuzi wowote,nimesema kwa ajili ya matumizi niwapo kazini Kama nauli, lunch na mengine
 
Issue sio ubinafsi mkuu ninacholalamikia ni mtu kuchukua mshahara wa mwenzake wote na Bado ninapoenda kazini Hanipi hela ya matumizi!
 
Issue sio ubinafsi mkuu ninacholalamikia ni mtu kuchukua mshahara wa mwenzake wote na Bado ninapoenda kazini Hanipi hela ya matumizi!
Alishawai kuhitaji msaada wako wa fedha before?

Au kabla ajachukua hizo fedha alisema anataka afanyie kitu gani?


Kama kakupora basi jaribu kukaa nae chini kwanza ujue wapi tatizo/sababu kuliko kukimbilia jf moja kwa moja
 
Issue sio ubinafsi mkuu ninacholalamikia ni mtu kuchukua mshahara wa mwenzake wote na Bado ninapoenda kazini Hanipi hela ya matumizi!
Huo mshahara unapata kwenye bahasha au anauchukua kwa acc yako?acha uzembee dada kwamba huwezi kumwambiaa anachofanya si sahihi au ni nn?
 
Alishawai kuhitaji msaada wako wa fedha before?

Au kabla ajachukua hizo fedha alisema anataka afanyie kitu gani?


Kama kakupora basi jaribu kukaa nae chini kwanza ujue wapi tatizo/sababu kuliko kukimbilia jf moja kwa moja
Utakuta Jamaa kakwama kwenye mambo yanayohusu familia na yeye akiambiwa asaidie anasema hana hela sasa imetokea zali jamaa kazifuma zimefichwa sehemu ni bora abebe zote ili siku nyingine mtoa mada ajifunze majukumu ya familia ni ya wote.
 
Dah...moja wapo ya haram kuu kwa mwanaume ni kula mshahara wa mwanamke....hi ni asili tu...wala haihitaji mjadala....[emoji41]

....
Statistics from Kenyan banks indicate that men withdraw a lot of money on Friday and women deposit a lot of money on Monday.

Source: *Kenya Bankers Association.*
 
Hebu pangeni mipango ya maendeleo ya mwaka ,miezi 6 ,miezi 4 na wiki, uone kama hela mtazivhezea chezea.
 
Ushasema dem
 
Basi kaa ujue unamwenzako pembeni anakusaidia kutimiza majukumu ya uanamke... la sivyo uliingia kwa ndoa kwa kutokupenda au uliona ni muda umefika wa kuolewa... nini maana ya uwazi sasa? Kuoana/kuoa wasomi kazi sana!!
Niliingia kwenye ndoa kwa kupenda kulelewa na mwanaume na kuzaa watoto na sio kulea mwanaume. Mamarioo utawajua tu kwa kauli zao.
 
Haa hah
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…