Mwanaume jina nimfanyeje?

Safi
 
Kuna mwanaume wa kuchukua mtu mjamzito????
Akili za mwanaume unazifahamu au unazisikia tu, wewe hujawahi kuona kichaa ana ujauzito unadhani ameupata wapi? Ijekuwa huyo mdada mwenye akili timamu na pesa zake..
Atangaze nia aone watu watakavyochangamkia fursa na huo ujauzito utapata mleaji fastaaa..
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…