Mwanaume ili upendwe lazima

Top gun maverick

JF-Expert Member
Joined
Dec 10, 2017
Posts
2,092
Reaction score
2,923
Habari wanajukwaa, wale wa bongo Dar es salaam poleni na mvua za kifurushi cha buku jero.

Naenda straight to the topic kwamba mwanaume lazima uwe una vitu vifuatavyo(PCM), POSITION, CAR, MONEY, Mimi ni victim mkubwa wa vibuti najibiwa majibu Kama (sorry Sina HISIA na wewe), ila ndipo nikafanya research paper ya kutafuta mademu wa kitaa, hapo ndipo walipojua status yangu nipo chuo ndipo shobo zilianza na nimefanikiwa kuwala Kama darasa na nusu. Hivyo kijana mwenzangu ukipewa kibuti jiulize je Ni wa level zako? Una hata ka vitz au ist?,

Je, una nafasi gani katika sekta fulani?

Kama huna bro kwa nguvu zote saka hela hata kama ni mfupi kama mimi utapendwa tu.

Conclusion: Huwezi fika mia kabla hujaanza moja. Usihangaike na vidada vya chuo per day unahonga pakubwa unakula padogo wakati mtaani elfu kumi tu, unapata watoto wakali. We call it a day.
 
A
Na wote kwa pamoja tuseme "Amina"
 
Ukimwi pia we call it forever.
 
We call it a day[emoji23][emoji23][emoji23]
In muddy physics voice...
 
Uswahilini mkuu kuna watoto wazuri cheap mno!!nilianza kupanga mbezi kule nmekaa miez kama 9 hiv,siku hiyo naenda tandika kwa bro(alisafiri),yaani nmekaa wiki 2 nimeona kama nilichelewa sana....mbez nlikuwa naonekan hohehahe flan ila uswaz madem wakawa wananiona kama Don flan!!!!dem nmempa 25 alinishukuru kam nmempa roho!!sio wale unatuma 100k anatak na yakutolea
 

Mimi silipendi hilo neno la β€˜uswahilini’.

Badala yake nalipenda zaidi neno β€˜uraiani’.

Hata β€˜uraiani’ totoz kali zipo za kumwaga tu.
 
By nature mim ni mtu bahali Sana tokea nikiwa sec mpka chuo hawa wadada kila naemtaka kinachofanya nakataliwa nilikuja gundua ni ubahili plus hela ilikua yakubahatisha sasa nilipota kazi nikasema nitadeal na wake za watu tu mpka Leo navoandika hapa nishalala na wake za watu wasiopungua 47 ndani ya miak7 hawana gharama ila uwe makini tu
 
hahhhhh....respect is earned not given....
 
...unaonga pakubwa unakula padogo...
Afu kuna mitoto inashindana na kaka zao sijui inavuta bangi,πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚
 
Uzi huu umekaa Kiutakatishaji fedha au uhujumu uchumi
Tubu rudishe hela
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…