Tujadili kidogo kumtafuta mwanasiasa bora wa mwaka 2014 tukizingatia mchango wake kwa siasa na maendeleo ya Taifa.
Warioba:
Ameongoza tume ya mabadiriko ya Katiba na kutoka na rasmu inayokubalika na wengi na pande zote za muungano. Kutokana na hilo amejikuta matatani hata kushambuliwa na kundi la mahafidhina wasiotaka mabadiliko ndani ya chama chake.
Mbowe:
Aliongoza kambi ya upinzani kudai mambo mengi yenye manufaa kwa taifa. Kubwa zaidi amewezesha kuundwa kwa UKAWA jambo ambalo limekuza demokrasia na matokeo ya serikali za mitaa ni kielelezo. Aliunda serikali balaza kivuli linalotokana na vyama vitatu.
Zitto:
Huyu alikuwa na mwaka mgumu sana kisiasa, alifukuzwa ndani ya chama chake. Alijaribu kuanzisha chama lakini team yake inamwangusha. Amemaliza mwaka vizuri kwa kuongoza kamati ya PAC katika kashfa ya Escrow.
Dr Slaa:
Huyu hachuji katika siasa za nchi hii. Ameongoza chama chake kufanya programu ya Chadema ni msingi iliyozaa matokeo mazuri uchaguzi wa SM. Aliongoza chama kufanya mkitano mkuu wa uchaguzi uliokuwa wa kihistoria, chama pia kimeweza kununua vifaa vya uenezi vya chama ikiwa ni pamoja na pikipiki.
Warioba:
Ameongoza tume ya mabadiriko ya Katiba na kutoka na rasmu inayokubalika na wengi na pande zote za muungano. Kutokana na hilo amejikuta matatani hata kushambuliwa na kundi la mahafidhina wasiotaka mabadiliko ndani ya chama chake.
Mbowe:
Aliongoza kambi ya upinzani kudai mambo mengi yenye manufaa kwa taifa. Kubwa zaidi amewezesha kuundwa kwa UKAWA jambo ambalo limekuza demokrasia na matokeo ya serikali za mitaa ni kielelezo. Aliunda serikali balaza kivuli linalotokana na vyama vitatu.
Zitto:
Huyu alikuwa na mwaka mgumu sana kisiasa, alifukuzwa ndani ya chama chake. Alijaribu kuanzisha chama lakini team yake inamwangusha. Amemaliza mwaka vizuri kwa kuongoza kamati ya PAC katika kashfa ya Escrow.
Dr Slaa:
Huyu hachuji katika siasa za nchi hii. Ameongoza chama chake kufanya programu ya Chadema ni msingi iliyozaa matokeo mazuri uchaguzi wa SM. Aliongoza chama kufanya mkitano mkuu wa uchaguzi uliokuwa wa kihistoria, chama pia kimeweza kununua vifaa vya uenezi vya chama ikiwa ni pamoja na pikipiki.