Nilibahatika kumsikiliza Mwanasheria mkuu na nilichokitambua ni kwamba:
i) Hakujibu maswali aliyoulizwa mfano swali: Je mikataba mibovu nchi iliyoingia imesababishwa na wanasheria kutukua na ujuzi wa masuala ya kitaaluma? Jibu lake: Huwezi kusema hivyo kabla hujafanya uchunguzi.....
Swali hilo lilikuja baada ya maelezo yake marefu ya kuwatetea wanasheria kuhusu mikataba mibovu nchi iliyoingia eti hawana ufahamu wa mambo ya taaluma kama uchumi na hapo akatoa mifano ya terminologies mbalimbali za kiuchumi.
ii) Anauelewa mdogo wa mambo ya taaluma yake ya Uanasheria
iii) Anakiburi cha hatari....(from his body language)
Hitimisho: Namuonea huruma Raisi wetu. Hivi anawapata wapi miongoni mwa watanzania wanataaluma watu wa aina hii. Wanaiumiza serikali kwa udhaifu wao.