Abdul Mganyizi
JF-Expert Member
- Oct 28, 2019
- 1,040
- 2,009
Habari zenu watanzania,mwanangu ana umri wa mwaka mmoja na miezi mitatu.Tatizo lake hataki kula chochote tofauti na kunyonya tu...
Welcome to the parenthood. Ni upepo utapita ila kama hatapiki mlazimishe kunywa uji au maziwa ya lactogen2 angalau akimeza vijiko 8 inatosha.Habari zenu watanzania,mwanangu ana umri wa mwaka mmoja na miezi mitatu.Tatizo lake hataki kula chochote tofauti na kunyonya tu ,nilishanunua...