Aisee tisha sana hii,wengi wanakubali kimyakimya....dizaini kama kuponda sina flani ya mziki...ila ukipigwa unatikisa kichwa ivi huku ukinata na biti!!
Kimsingi Raia wa Tanzania hawana hulka za kufanya vurugu. Vurugu mara nyingi zimekuwa zikisababishwa na Polisi wenyewe kutaka kutumia nguvu hata pasipohitaji nguvu.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.