Kwenye nyimbo yake ya lovin kuna sehemu anatembea na mchizi wake. Nilicheka sana yale maneno yameandikwa kwenye tisheti. Upande wa mbele imeandikwa
I'm taken
I have a GF
Face your front
Halafu upandr wa nyuma wakaweka msisitizo. Wakaandika,
I said face your front.