Mwanamke wa kuoa

Mwanamke wa kuoa

Joined
Jul 22, 2017
Posts
20
Reaction score
40
Amani na upendo viwe na nyinyi ndugu zangu, kwa heshima na taadhima naomba kueleza juu ya itaji langu la kutafuta mke wa kuoa. Nimevutiwa kufanya hivyo baada ya kuona wapo wana jamvi ambao kuptia jukwaa hili wamefanikiwa kupata wenza.

Mimi ni baba wa watoto watatu (single parent ) kwa bahati mbaya sana na kwa sababu zisizozuilika tulitengana. Ni mfanyakazi .Naomba kwa mwanamke ambae yupo tayari kwa maisha ya ndoa tafadhari tutafutane pm.Sifa zifuatazo ndo vgezo vyangu

Awe mkristu wa dhehebu lofoten
Mpenda maombi
Awe na figa nzuri
Awe na kazi
Awe na mtoto /watoto
Mwenye heshima na adabu
Elimu ya chuo kikuu
Mweupe wa kuzaliwa

Kwa yule alie serious aje pm .

Nina imani na mimi nitafanikiwa kama wenzangu walivyofanikiwa

Asanteni


Sent using Jamii Forums mobile app
 
aisee!bora mmeanza kulegeza sifa! hii inatupa sana moyo kwa sie wenye wajukuu huez jua!

kila la heri mkuu!hongera kwa kuwa baba mzuri!kutunza watt 3 sio kazi nyepesi hata kidg!
 
Aiseeeee!!!

[Color= yellow]Triple A[/color]
 
Back
Top Bottom