Unakuta mtu kazi ni kupondea kuwasema wasichana alotembea nao ili iweje .. umefanya yako pita kule nae atafute rizik yakee kuropoka tuuu.... na mnakeraaa hd bx hzo tabia za kikeee ushamba na ulimbukeni tu huo
Ndio maana maishani mwangu nimekuwa makini na jinsia ya kiume...siwaamni hata kidogo...
Men do kiss and tell...
Unaweza geuzwa gumzo mtaani bila wewe kujua...kisa huruma ...wanakuja wanajiliza...wakimaliza wanatafuta nani wa kumsimulia...hasa wavulana ...nadhani wanaume hawana hata muda wa kukaa kijiweni...ingawa wakipata muda na wao ni mule mule...
Kuna ma office mate wangu wa kiume ni watu wazima lakini wanaongelea waliokwisha wapitia...tena wengine ni wake za watu...
Ndio maana maishani mwangu nimekuwa makini na jinsia ya kiume...siwaamni hata kidogo...
Men do kiss and tell...
Unaweza geuzwa gumzo mtaani bila wewe kujua...kisa huruma ...wanakuja wanajiliza...wakimaliza wanatafuta nani wa kumsimulia...hasa wavulana ...nadhani wanaume hawana hata muda wa kukaa kijiweni...ingawa wakipata muda na wao ni mule mule...
Kuna ma office mate wangu wa kiume ni watu wazima lakini wanaongelea waliokwisha wapitia...tena wengine ni wake za watu...
Ndio maana maishani mwangu nimekuwa makini na jinsia ya kiume...siwaamni hata kidogo...
Men do kiss and tell...
Unaweza geuzwa gumzo mtaani bila wewe kujua...kisa huruma ...wanakuja wanajiliza...wakimaliza wanatafuta nani wa kumsimulia...hasa wavulana ...nadhani wanaume hawana hata muda wa kukaa kijiweni...ingawa wakipata muda na wao ni mule mule...
Kuna ma office mate wangu wa kiume ni watu wazima lakini wanaongelea waliokwisha wapitia...tena wengine ni wake za watu...
Hapo kwenye red, kuwa mwanaume sio umri tuu, wengi unaoweza kudhani ni wanaume ndani yao kuna wavulana na wavulana ndani yao kuna wanaume. Mwanaume anaelewa kuficha siri za mahusiano yake.. Maana lifanyikalo sirini litabaki kuwa la sirini.
Ukiona mwanaume anajisifu kwa maswala hayo, anakuwa na sifa nyingi mbaya, lakini me nazijua 2tu. Kwanza team kibamia. Pili. Aliwahi kulawitiwa utotoni. Kwahyo kugonga mademu kwake ni hisani siyo haki yake.
Kijana ambae huwa anajisifu sifu mbele za watu ooh yule nimekula huyu kantaka yule nini wengi wao ni NYUKI WA CANTEEN kazi yao kulamba sukari tu hawaumi, utakuta mwingine ni kupita pita na demu tu anaenda na huyu anarudi na yule hao nao ni MAESCORTER tu sio wagongaji!!!!
concluded.....