Mwanamke penda maisha yako kwanza

Mwanamke penda maisha yako kwanza

naliwe

JF-Expert Member
Joined
Feb 17, 2013
Posts
475
Reaction score
1,062
Ni aibu kwa mwanamke hadi unaingia kwenye ndoa umeshatembea na wanaume weengi alafu ulichoambulia ni vinguo na visimu tu uku ukisahau kua mapenzi ni mtaji

Naomba niwape ushauri

Unapokua na mahusiano na mwanaume cha kwanza jali maendeleo yako angalia kwa kua nae uyu nitafaisika na nini acheni mambo yenu ya ubaby baby kujifanya kua eti nampenda hata kama hana kitu

Wengine wanaopoa madingi yenye pesa zao badala wafanye vitu vya maana wanaendekeza mitoko na kiujidhoo tu kwa marafiki zao,kila kukicha ni masimu tu ya ghalama uku wakisaau kua tupu zenu zinapoteza ubora wake

Pendeni maisha kwanza alafu mapenzi baadae,

Naliwe wa lumumba
 
Kweli wewe unatokea Lumumba. Akili za Lumumba hizo......ndio nyie mnaona sawa tu kuibia wananchi ili mshibishe matumbo yenu. Himiza wanawake wasome, wafanye kazi kweli wajikwamue financially sio eti wategemee wanaume tu.
 
Ama kweli huo ndo ushauri wa Lumumba.
Buku saba tabu kweli mkishashiba.
Ety huu nao ushauri halafu ukute ni dume hili.
Kuandika kwenyew kama ulikuwa unakimbizwa hebu edit kwanza visomeke.
Nilidhani ungewashauri wafanye kazi kwa bidii watengeneze maisha kumbe watumie papuchi kwa bidii.
Interesting......
 
Duh utadhani kama umeombwa vile utoe ushauri.., wewe ni ME au KE?!
 
Ni aibu kwa mwanamke hadi unaingia kwenye ndoa umeshatembea na wanaume weengi alafu ulichoambulia ni vinguo na visimu tu uku ukisahau kua mapenzi ni mtaji

Naomba niwape ushauri

Unapokua na mahusiano na mwanaume cha kwanza jali maendeleo yako angalia kwa kua nae uyu nitafaisika na nini acheni mambo yenu ya ubaby baby kujifanya kua eti nampenda hata kama hana kitu

Wengine wanaopoa madingi yenye pesa zao badala wafanye vitu vya maana wanaendekeza mitoko na kiujidhoo tu kwa marafiki zao,kila kukicha ni masimu tu ya ghalama uku wakisaau kua tupu zenu zinapoteza ubora wake

Pendeni maisha kwanza alafu mapenzi baadae,

Naliwe wa lumumba
Naliwe wasalimie wadada wa Mpwapwa......
 
Ni aibu kwa mwanamke hadi unaingia kwenye ndoa umeshatembea na wanaume weengi alafu ulichoambulia ni vinguo na visimu tu uku ukisahau kua mapenzi ni mtaji

Naomba niwape ushauri

Unapokua na mahusiano na mwanaume cha kwanza jali maendeleo yako angalia kwa kua nae uyu nitafaisika na nini acheni mambo yenu ya ubaby baby kujifanya kua eti nampenda hata kama hana kitu

Wengine wanaopoa madingi yenye pesa zao badala wafanye vitu vya maana wanaendekeza mitoko na kiujidhoo tu kwa marafiki zao,kila kukicha ni masimu tu ya ghalama uku wakisaau kua tupu zenu zinapoteza ubora wake

Pendeni maisha kwanza alafu mapenzi baadae,

Naliwe wa lumumba
Hujajua kuwa nanyi mnachukuliwa sana na majimama watu wazima, acheni kusema ya wenzenu wakati ya kwenu nayo yanatoa harufu
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom