mkuu uliyoyasema ni kweli kabisa, nimezipenda zaidi namba 10 na 11.
ila pia tahadhari ichukuliwe kama :
namba 1: unaweza tambuliashwa kila mahali.....wakakuchekea na kukuita shemeji kumbe wanakuchora......
Namba 3: hii inawezekana kama wewe si buzi, maana wengine hukueleza matatizo yao ili kukuvuna....
Namba 6:hapa ndo penye shughuli kwenye mahusiano mengi.....jinsi gani utaprove uaminifu wake kwako.....
Namba 7: mmmmmmh maybe....
Namba 13: Be careful....hutumika kuwaingiza king wanaume wengi.....kumbuka baadhi ya wanawake wasanii...
Hivyo nadhani pamoja na kuwa mwongozo wako ni mzuri sana.....(nitaucopy nimpe mtu mmoja hivi) ni vyema kuwa na tahadhari hapa na pale....maswala ya moyo haya ni tata...