amba.nkya
JF-Expert Member
- Jan 7, 2010
- 446
- 131
Nina rafiki yangu wa karibu ameoa hivi karibuni alikuja kuniomba ushauri kwa vile nipo kwenye ndoa yangu kwa zaidi ya miaka 10. Akanieleza kuwa mke wake ana tatizo la kutokwa majimaji yenye harufu kali wakati wafanyapo tendo la ndoa. Aidha, alisema yapata mwaka sasa, mke wake huyo amewahifanyiwa operation chini ya kitovu iliyotokana na tatizo la uvimbe kwenye mirija ya uzazi.
Wanajamvi naomba wenye majibu ya kitaalam ili tuweze kumsaidia rafiki yangu.
Wanajamvi naomba wenye majibu ya kitaalam ili tuweze kumsaidia rafiki yangu.