arabianfalcon
JF-Expert Member
- Oct 19, 2010
- 2,285
- 585
jaribu kumfanyia conseling...!inawezekana ww humfiksh pale anataka..!kumuacha cyo solution,,jaribu ku2mia huo ushauri kaka..
Inamaana wew hauna hata hakiba ya bunduki nyumbani??
Muombee Mungu atambadilisha tu. Shetani kampitia tuu! Mpeleke kwenye maombi, mpende zaidi na umsamehe!
Mungu sio Mungu wa wazinzi na majambazi na wabakaji. Ni Mungu wa walokole ambao wamefanywa kuwa wana.
Nini cha kufanya pindi unapogundua mke anatoka nje ya ndoa na pia unapobaini kwamba kumbe ni tendo la siku nyingi na pia amekuwa na mahusiano na zaidi ya mwanaume mmoja
Muombee Mungu atambadilisha tu. Shetani kampitia tuu! Mpeleke kwenye maombi, mpende zaidi na umsamehe!
Mungu ni mwingi wa Rehema, mwenye kusamehe na kurehemu. Ni Mungu aonyae, ni Mungu anayependezwa na mwenye dhambi mzinzi kahaba mbakaji na muuaji akitubu na kuacha dhambi!
Nini cha kufanya pindi unapogundua mke anatoka nje ya ndoa na pia unapobaini kwamba kumbe ni tendo la siku nyingi na pia amekuwa na mahusiano na zaidi ya mwanaume mmoja
Mungu ni mwingi wa Rehema, mwenye kusamehe na kurehemu. Ni Mungu aonyae, ni Mungu anayependezwa na mwenye dhambi mzinzi kahaba mbakaji na muuaji akitubu na kuacha dhambi!