Mbaga Lazaro
Senior Member
- Aug 9, 2020
- 132
- 107
Kama tittle inavyojieleza waungwana nimeguswa kupepesa juu ya hili swala.Kisa kama hiki nimekifuma mahali.Mke anakunywa mme hanywi.Chakustua zaidi mke anaenda kulewa huku anamwacha mumewe nyumbani akifanya kazi za ndani.
Chakushangaza huyu mwanadada anapokuwa huko ulevini yanazungumzwa kwamba anao wadau kadhaa anaopita nao,cha ajabu mdau huyu (mume mtu) yupo kimya tu hata kumkanya mdau kuhusu tabia hii.
Hivi kweli mke anarudi saa tatu usiku mume ndiye anayepikia watoto ,na wakati mke anarudi anaonekana kabisa kwamba " amelowaa amelowaa amenyeshewa na mvua yawo yawo"nadhan mmenielewa lakin cha kushangaza blaz yupo cool tu.
Du wajumbe na huu ulimwengu ulivyoshehen magnjwa,Du inasikitisha ,japo yasemekana jamaa kalishwa kafinyango ati asiwe na kauli katika famili lakini yahuzunisha.HIVI MDAU MKE AWEZA KUKUACHA NYUMBANI AKAENDA KULEWA TILL MID-NIGHT UKACHUKULIA NORMAL?
Chakushangaza huyu mwanadada anapokuwa huko ulevini yanazungumzwa kwamba anao wadau kadhaa anaopita nao,cha ajabu mdau huyu (mume mtu) yupo kimya tu hata kumkanya mdau kuhusu tabia hii.
Hivi kweli mke anarudi saa tatu usiku mume ndiye anayepikia watoto ,na wakati mke anarudi anaonekana kabisa kwamba " amelowaa amelowaa amenyeshewa na mvua yawo yawo"nadhan mmenielewa lakin cha kushangaza blaz yupo cool tu.
Du wajumbe na huu ulimwengu ulivyoshehen magnjwa,Du inasikitisha ,japo yasemekana jamaa kalishwa kafinyango ati asiwe na kauli katika famili lakini yahuzunisha.HIVI MDAU MKE AWEZA KUKUACHA NYUMBANI AKAENDA KULEWA TILL MID-NIGHT UKACHUKULIA NORMAL?