Mwanamke kufika kileleni

Habari zenu waungwana,kheri ya mwaka mpya 2020,naomba kujua jamani kuhusiana na tabia za wanawake ambao wanafika kileleni wakiwa kwenye sitakwasita,anakuwa na hari gani?

Sent using Jamii Forums mobile app
Hari yake inakuwa ni nzuli sana na pia hanakua hanapenda kurambwa rambwa huku akiria ria kama mtoto.

Usisahau hukimariza kumkojoresha inabidi afurishwe shuka za hapo rodge.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kajokelaa hebu soma kwanza, haya mambo hebu yaache kwanza, wakati wake ukifika utaelewa tu kila kitu na mara nyingi bila hata kufundishwa.
 
Unashimdwa kuchanganua kati ya maziwa na tui LA Nazi inaomekana weww sio mtundu kwanza kunawengime wanafika wengine wala hawelewi kileleni kukoje,akifika inavyotakiwa atapunzika halafu atapata usingizi mzito balaa.sio wanao lialia ukimaliza anaanza kucheka hapo Hanna kitu

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mtoto acha kupiga mayowee aaacha watu waje waone wenyeweeee...
Weee mtoto wacha kupiga mayoweee waache watu waje waone wenyeweee!!.
Ukiacha kifo kitu kingine kinachoninyima raha nikikiwaza ni "uzee".

Sent using Jamii Forums mobile app
 
...........Msimu huu sikushauri kwenda kupanda mlima na mwanamke,maana kuna mvua sana na utelezi so inaweza ikatokea ajali mbaya mamlaka zinawashauri wale wote wanaotaka kwenda kupanda mlima Kilimanjaro mpande kutokana na maelekezo ya waongoza watalii.

Asante!!!

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mwanamke akifika mshindo anapata hali kama ya kuzimia hivi kama dakika moja yani hata umwongeleshe hautajibiwa. Baada ya hapo utaona hana mzuka tena

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Utasikia kwenye miguno yake, yaaani utasikia tu, Mimi binafsi hua sisemi ila hua nafika kileleni nikikutana na Kaiza. Jamani I miss Kaiza. Wengine Kama wananichezea tu

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…