Mwanamke kanikimbia, akazae mbali

Stroke

JF-Expert Member
Joined
Feb 17, 2012
Posts
39,998
Reaction score
51,099
Wakuu huyu mwanamke amenitegea mimba live live.

Kaishika mimba ila kakimbia kabisa anapokea simu kunijulia hali tu but hataki kabisa kuniona.

Yaani nimebembeleza nimelia hajali

Wameshampumbaza hawa mbwa.

Nampataje tena.

Mimba kama yangu ni kweli anayo ila ndio hataki hata kusikia harufu yangu.
 
Kwa comments zako humu mwanamke lazima asepe , na mimba sio yako acha usumbufu
 
Lia mpaka mpaka machozi yakauke
 
ndio tabia ya mimba changa ilivyo gentleman, haipendi kuona vipara au mapengo ya muhusika wa mimba hiyo,

toa matunzo,
na usubiri kijacho na sahani yake. Kua mpole πŸ’
 
Yaani nimebembeleza nimelia hajali
πŸ˜… Poleeee umelilia mapenzi au mimba? Uliona majibu ya kujua ipo kweli.
Kaishika mimba ila kakimbia kabisa anapokea simu kunijulia hali tu but hataki kabisa kuniona.

Mtumie pesa kila siku hadi aamue kukuona, utajua mimba ipo au haipo.

Ila kwani mliishi pamoja?
 
Acha kifafa cha mimba, kuna kichaa cha mimba huenda kimemkumba na baada ya kujifungua, atarudiwa na hali ya kawaida.

Vinginevyo mimba si yako, unachezewa tu saikolojia hapo .

Hakuna kipindi mwanamke anapenda kuwa na mume kama kipindi anachokuwa mja mzito, kwa nini isiwe wewe?

Fanya utafiti sawa sawa ili 'uchanganye na zako'.
 
Kaenda kwa mumewe huyo, saivi anaichakata tu. Ila wanawake πŸ˜‚
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…