Mwanamke hips jamani kalio ziada tu

samakinchanga

JF-Expert Member
Joined
Aug 24, 2014
Posts
2,024
Reaction score
1,237
Wanaume wameachana na kutamani makalio sasa mioyo yote imehamia kwenye hips yaani mwanamke akiwa hata flat screen kinamna ila hips imechomoza vidume hoiii
 
Yap!.Napenda Sana Nyonga.Shemej Yenu Anazo Za Kutosha.
 
kama mnapenda hizo chipsi nyie pendeni tu ila msisahau kuweka tomato, chili na kachumbali tu ili mfaidi vizuri, ni hayo tu.
 
Mbona mnatuchanganya sana jamani maana Kiepe Yai yeye alisema eti tunapenda sana du mwny kalio kubwa na wewe samakinchanga unasema eti tunapenda hips hata kama demu yuko flat...... Jamani hivi hamjui kuwa kila mtu huwa ana chaguo la aina aitakayo
 
Last edited by a moderator:
Wanaume wameachana na kutamani makalio sasa mioyo yote imehamia kwenye hips yaani mwanamke akiwa hata flat screen kinamna ila hips imechomoza vidume hoiii

Sipati picha, utakuwaje na hips alafu kalio hamna. Kituko!
 
Mbona ni miguu tu ya kawaida kwani hizo hips zikiwa nzuri ndo unapika kongolo au ?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…