ANDIKO LINASEMA
1 timothy 11
Mwanamke na ajifunze katika utulivu, akitii kwa kila namna.-
12-Simpi mwanamke ruhusa ya kufundisha, wala kumtawala mwanamume, bali awe katika utulivu.-
13-Kwa maana Adamu ndiye aliyeumbwa kwanza, na Hawa baadaye.-
Yesu anasema MWANAMKE AKAE KIMYA!
HAKUNA RUKSA KUFUNDISHA.
Hapa Yesu anaendelea kumwambia MWANAMKE.
1 Wakolosai 14:34 -35
Wanawake na wanyamaze katika kanisa, maana hawana ruhusa kunena bali watii, kama vile inenavyo torati nayo.-
35-Nao wakitaka kujifunza neno lo lote, na wawaulize waume zao wenyewe nyumbani mwao; maana ni aibu wanawake kunena katika kanisa.-
Enyi wanawake wa KIKRISTO!
FUNGENI MIDOMO YENU, Bwana YESU KASEMA!
Sasa kwa Mujibu wa ANDIKO huyo.mwanamke ni HARAMU TUPU.
Matola