Kuna mmoja huyo anuza duka la vitu mbalimbali vya nyumbani basi kanizimikia anavyonionga balaa...
Mikate, bluebend.maziwa,sukari,mchele,unga n.k
sasa nna mpango wa kuanza kumkwepa maana amezidisha manjunju ya kunionga teh teh teh.... alaaaaah kupenda gani huku....:teeth: