Mwanamke anapokuomba “ usimuache”

Mwanamke anapokuomba “ usimuache”

elishaezekiel

JF-Expert Member
Joined
Oct 16, 2016
Posts
563
Reaction score
1,473
Wakuu kwema

Hii siyo mara ya kwanza daa!

Sasa this time anaomba kabisa niwe nae nisimuache anadai ananipenda…

Najua mwanamke anatakiwa awe hivi kwa mwanaume wake kwamba mwanamke atoe upendo mkubwa kuliko wanaume na wanaume kwa kua ni “unchanging, unwavering “ arudishe hiyo love.

Ni hatari kwa kinyume chake pale ambapo mwanume anapambana ili kumset manzi ampende never does it work, never should you try.

Frame inataka mwanaume acontrol options na mwanamke aonyeshe “ udhaifu” huo.

Anyway yote heri, wanawake siyo wagumu kukomprehend kama watu wengi wanavyodai . Kuna basics ambazo female mind inaoperate nazo ukizimaster hizo basi tabia zingine zoote zinamanifest kutoka huko kwenye hizo basics/ roots ambazo ni:

1. Narcissism( selfishness)
2. Role playing ( manipulation,lying,deception)
3. Fickleness ( Changeableness)
4. Myopia ( shortsightedness)

Kwa Huyu aaa okay let’s see.
Anaomba nisimgaye.
 
Wakuu kwema

Hii siyo mara ya kwanza daa!

Sasa this time anaomba kabisa niwe nae nisimuache anadai ananipenda…

Najua mwanamke anatakiwa awe hivi kwa mwanaume wake kwamba mwanamke atoe upendo mkubwa kuliko wanaume na wanaume kwa kua ni “unchanging, unwavering “ arudishe hiyo love.

Ni hatari kwa kinyume chake pale ambapo mwanume anapambana ili kumset manzi ampende never does it work, never should you try.

Frame inataka mwanaume acontrol options na mwanamke aonyeshe “ udhaifu” huo.

Anyway yote heri, wanawake siyo wagumu kukomprehend kama watu wengi wanavyodai . Kuna basics ambazo female mind inaoperate nazo ukizimaster hizo basi tabia zingine zoote zinamanifest kutoka huko kwenye hizo basics/ roots ambazo ni:

1. Narcissism( selfishness)
2. Role playing ( manipulation,lying,deception)
3. Fickleness ( Changeableness)
4. Myopia ( shortsightedness)

Kwa Huyu aaa okay let’s see.
Anaomba nisimgaye.

Kwahiyo sasa hayo manipulation ndo manini
 
Wakuu kwema

Hii siyo mara ya kwanza daa!

Sasa this time anaomba kabisa niwe nae nisimuache anadai ananipenda…

Najua mwanamke anatakiwa awe hivi kwa mwanaume wake kwamba mwanamke atoe upendo mkubwa kuliko wanaume na wanaume kwa kua ni “unchanging, unwavering “ arudishe hiyo love.

Ni hatari kwa kinyume chake pale ambapo mwanume anapambana ili kumset manzi ampende never does it work, never should you try.

Frame inataka mwanaume acontrol options na mwanamke aonyeshe “ udhaifu” huo.

Anyway yote heri, wanawake siyo wagumu kukomprehend kama watu wengi wanavyodai . Kuna basics ambazo female mind inaoperate nazo ukizimaster hizo basi tabia zingine zoote zinamanifest kutoka huko kwenye hizo basics/ roots ambazo ni:

1. Narcissism( selfishness)
2. Role playing ( manipulation,lying,deception)
3. Fickleness ( Changeableness)
4. Myopia ( shortsightedness)

Kwa Huyu aaa okay let’s see.
Anaomba nisimgaye.
Mkuu jinsia Gani wewe? Kuna mtu lugha uliyotumia imemchanganya kidogo
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom