Mwanamke amuua mwanae ili aolewe

ya
ni hawa wanawake sijui wanapatagwa na nini yan!
 
Vumilia ulivumilia yanini kulea mimba kwa miezi 9 kisha mwana kwa miaka 2, halafu ukaamu kwa muda mfupi kumuua mwanao ambae hujui baadae angekufaa kwa kiasi gani ktk maisha yako? Mwanaume wa maisha yako au ambae anahitaji kujenga familia anaweza kukataa mtoto? Kuua mtoto sio kutoa mimba Vumilia, utavumilia mengi gerezani Vumilia.
 
Nadhani hata shetani hua anashangaa sana manake kuna watu sasa wanamzidi hata yeye uwezo apa apa bongo!
 
Basi msamehe mamii,mbona hata wew ni mosaji tu au vipi?makosa unafanya kila dakika.
 
Huyo mwanamme kampenda yeye na si mtt aliezaa na mwanamme mwingine! Anaona ktk maisha yake bado anayo nafas ya kuolewa.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…