Ningekuwa karibu na huyo dada ningempiga vibao,nimeshikwa na hasira sana.
Mwanaume asiyempenda mwanao ni dhahiri hawezi kukupenda na wewe.
Nae alivyo mjinga akamuua mwanae ambaye hakuna mwanamke yeyote chini ya jua angeweza kumtenganisha naye tofauti na huyo mwanaume wa kupita,leo yuko nae kesho akipata mwingine atamuacha.