Mwanamke amenisaliti

Kweli anatunga story anashindwa kuweka mtiririko kuficha uongo wake.
 
endelea na maisha yako mtoto akikua atamfata baba.... ila kama mama akimwambia....
 


pole sana mkuu ndo ukubwa wenyew, japokua mwiba wa kujichoma hauna pole.
 
I'm sorry best for prove me wrong▶▶
Mnamo mwaka 2013 alipata ujauzito mwezi wa tisa

na huyo mume mwenzio alikuwa wapi kipindi choooote mlichokuwa na huyo dada? na ana umri gani?
 
Endelea na maisha yako usijiumize kichwa
 
Yaani uikatae mimba halafu ujifariji kuwa mwanamke anakupenda?????

Alikuwa anakulia timing tu akuumize kama ulivyomuumiza

Halafu umario mbaya ujue

Cha muhimu songa mbele
 

c wewe tu mm ndo kabisaa hadith haieleweki hii
 

Anatuzinguwa mtoaa madaa
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…