Mwanamke amenisaliti

Duhhh!!io kali.Fanya kuomba sanaa,Mwenyez Mungu atakupa mwanga.
 
pole sana! ulipokataa mimba hukujua utamu wa mtoto.sasa unaujua utamu wa mtoto unakataliwa wewe!ni malipo tu ya dhambi.mrudie mola wako tubu! kuhusu mtoto wako au sio wako nendeni mkapime hosp.
 

saana umefosii maapeenzii mpaka leo unaona huyawezi,kama ushawahi kutendwa si upite mbele
 
una uhakika gn kama mme mwenzio hana mbegu?akili mukichwa kjn.
 
huyo mwanamke kawaona nyie ni wadhaifu hivyo anawafanya anachojisikia...
 
Haha! Sasa wewe unajua mimi haiingii akikini kabisa kwamba uliishi nae kama mume na mke, na iweje yule mumewake muda wote huo asimtafute mkewe..
Mkuu hii ni umetunga ama nini:what:
 
Haha! Sasa wewe unajua mimi haiingii akikini kabisa kwamba uliishi nae kama mume na mke, na iweje yule mumewake muda wote huo asimtafute mkewe..
Mkuu hii ni umetunga ama nini:what:

pamoja mkuu kama katunga
 
Ngoja nilale nikiamka kama uzi utakuwepo nitachangia au vp waungwana!
 
Utunzi wako hauna mashiko, ulipokuwa unaishi naye km mke mmewe alikuwa likizo ya ndoa ya mda mrefu au?
Anyway, waache na ndoa yao tafuta demu mwingine piga mimba oa, safari hii kuwa makini na uoe rasmi hadi mahari utoe!
 
Pole sana badili namba ya simu kichwa kitulie kwanza.
 
stori yako inatia mashaka, manake mtu mwenye mumewe umeishi nae kipindi chote hicho mpaka anajifungua huyo mumewe alikuwa wapi? au walikuwa wametengana? na kwa maelezo yako wakati mnaanzi mahusiano hiyo 2013 wewe ulikuwa na miaka 22 sasa yeye atakuwa na miaka mingapi? na pia umesema mwaka 2014 ndo alipata ujauzito, sasa nikipiga mahesabu huu ndo kwanza mwenzi wa 9 sasa wewe unasema mtoto alishazaliwa na ana miezi 4, kwa kweli nimeshindwa kukupata
 
Hii huwa Inatokea Bongo tu
#Bongobound


I'm sorry best for prove me wrong▶▶
Mnamo mwaka 2013 alipata ujauzito mwezi wa tisa
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…