Dont go away
JF-Expert Member
- Oct 30, 2014
- 501
- 208
Wewe umeajiliwa??
Kwanza nawasalimu.
Najitokeza hapa kutafuta mwanamke wa kuoa aliye tayari, awe na mwili wa
wastani tu au mwembamba mrefu wa wastani tu, awe ameajiliwa, Elimu
kuanzia form 4 na kuendelea, Nasisitiza kuwa awe serious, anayejitambua,
na mpenda maendeleo.
Mimi ni mwajiliwa, nina degree na maisha ya kati, Umri wangu miaka 29,
yeye awe na umri wa miaka 20-26 tu, siyo zaidi.
Aliye tyr Ni --PM
Morning miss
morning bae
Umeamkaje??
am fit hofu kwako my strawberry
Jst miss u sana.....
mich u more..............