Kuna mwanajeshi mwingine wa MUNOSCO ameuliwa huko Eringeti Wilaya ya Beni. Inahisiwa inaweza akawa ni Mwajeshi wa Jeshi la Tanzania.
Kinachosubiriwa ni msemaji wa MUNOSCO kusema ni Mwanajeshi wa Nchi gani Kauliwa.
Mwanajeshi huyo alikua yupo lindoni leo hii, Ameuliwa kwa Risasi.