Mange Njile
Member
- Jun 27, 2015
- 63
- 2
namini zimebaki siku chache tuigie kwenye uchaguzi nakila mumoja namini atafanya wamzi wake na kutimiza ndoto yake ila kunakitu kimoja nataka niongee tanzania ni ichi yenye sitolia zuli sana japokua iko chini kiuchumi ila inastolia yake kwaza amani pili kutokubaguwana vikabila na tatu tunajivunia sana ichi yetu au munasemaje wadau wezangu sasa basi tulindeni amani yetu na ukiisha uchaguzi nawaobeni tuwe kitukimija ili tulijenge taifa letu tusiwekeyane chuki mimi namini amani kwaza mengine badae nawatakia jumatatu jema