Ndata
JF-Expert Member
- Mar 2, 2017
- 226
- 321
Ni nani asiyefahamu Dr Slaa alikuwa mtafunaji Zitto mmezaji. Yaani Slaa alikuwa akifanya Tafiti yeye Zitto anakuwa speaker tuu ya kusema yale yaliyoandaliwa na Slaa. Huu ulikuwa mkakati wa kuikuza Chadema. Hapa homeboy akavimba kichwa baada ya umaarufu.
Alivyokuja Kafulila, Kafulila akawa anatafuta nitoke vipi ila ghafla akaotea mchongo wa Escrow kama kawaida Spika ikataka kurob ile issue. Huu ukawa mwanzo wa ugomvi kati ya Kafulila na Zitto.
Leo sitaki kujikita zaidi huko ila nataka niangaze zaidi kwenye ujenzi wa chama. Tagusa kidogo Chadema then tamaliza na ACT inayoongozwa na yeye.
Wakati wa Chadema, Zitto ndio mbunge pekee na Kiongozi aliyeshindwa kuikuza Chadema kwenye mkoa na kanda atokayo. Pamoja na umaarufu wake wote hadi anahama Chadema mbunge wa Chadema Kigoma nzima alikua peke yake. Madhara ya kupenda kutafuniwa haya.
Mwaka 2014 wakati ACT inaasisiwa Zitto alikuwa Chadema akisapoti uanzishwaji ACT huku akiendelea kuomba asamehewe Chadema.
Vijana wakaingia mzigoni, wakafight kwa hali na mali chama ikasimama. Baada ya kuona machine imekolea moto huyo akajiunga ACT na kujipa umungu mtu wa Chama. Hakutaka hata kushindana na mtu.
Leo baada ya Maalim kujiunga ACT na kuja pamoja na kundi lake tunaona Zitto kahamishia nguvu Kusini na pemba eti anajenga chama . Kwanini chama asianze kukijenga nyumbani.
Mpaka sasa mbali na Kigoma mjini hata Kaskazini aliyoiongoza kwa miaka kumi hana uhakika wa kupata mbunge hata mkurugenzi wampe Jashia Hamis na Boaz Chuma..
Zitto ni muoga wa kutafuna, kujenga au kuanza from the scratch. Tunafahamu kina Bwege tayari ni wabunge na wenye platform kubwa Kusini ni kwanini yeye kama kiongozi asiwashawishi wenzake waende maeneo ambayo chama hakipo wakijenge. Uoga wa kutafuna na kuzoea kumeza walichotafuna wenzake.
Wale wanaodhani Zitto ni jasiri na shujaa muulizeni kashindwaje kukivusha chama kutoka mjini hadi Kasulu? Muuluzeni ni kwanini anazurura majimbo ambayo yalikuwa na wabunge wa CUF waliokimbilia ACT na sio majimbo ambayo kazi bado kubwa?
Akiwapa jibu mtafahamu kweli ni shujaa au kibogoyo mmeazaji wa kilichotafunwa na wanaume wenye miraba sita.
Picha Afande Sele akiijenga ACT
Cwu @2020
Alivyokuja Kafulila, Kafulila akawa anatafuta nitoke vipi ila ghafla akaotea mchongo wa Escrow kama kawaida Spika ikataka kurob ile issue. Huu ukawa mwanzo wa ugomvi kati ya Kafulila na Zitto.
Leo sitaki kujikita zaidi huko ila nataka niangaze zaidi kwenye ujenzi wa chama. Tagusa kidogo Chadema then tamaliza na ACT inayoongozwa na yeye.
Wakati wa Chadema, Zitto ndio mbunge pekee na Kiongozi aliyeshindwa kuikuza Chadema kwenye mkoa na kanda atokayo. Pamoja na umaarufu wake wote hadi anahama Chadema mbunge wa Chadema Kigoma nzima alikua peke yake. Madhara ya kupenda kutafuniwa haya.
Mwaka 2014 wakati ACT inaasisiwa Zitto alikuwa Chadema akisapoti uanzishwaji ACT huku akiendelea kuomba asamehewe Chadema.
Vijana wakaingia mzigoni, wakafight kwa hali na mali chama ikasimama. Baada ya kuona machine imekolea moto huyo akajiunga ACT na kujipa umungu mtu wa Chama. Hakutaka hata kushindana na mtu.
Leo baada ya Maalim kujiunga ACT na kuja pamoja na kundi lake tunaona Zitto kahamishia nguvu Kusini na pemba eti anajenga chama . Kwanini chama asianze kukijenga nyumbani.
Mpaka sasa mbali na Kigoma mjini hata Kaskazini aliyoiongoza kwa miaka kumi hana uhakika wa kupata mbunge hata mkurugenzi wampe Jashia Hamis na Boaz Chuma..
Zitto ni muoga wa kutafuna, kujenga au kuanza from the scratch. Tunafahamu kina Bwege tayari ni wabunge na wenye platform kubwa Kusini ni kwanini yeye kama kiongozi asiwashawishi wenzake waende maeneo ambayo chama hakipo wakijenge. Uoga wa kutafuna na kuzoea kumeza walichotafuna wenzake.
Wale wanaodhani Zitto ni jasiri na shujaa muulizeni kashindwaje kukivusha chama kutoka mjini hadi Kasulu? Muuluzeni ni kwanini anazurura majimbo ambayo yalikuwa na wabunge wa CUF waliokimbilia ACT na sio majimbo ambayo kazi bado kubwa?
Akiwapa jibu mtafahamu kweli ni shujaa au kibogoyo mmeazaji wa kilichotafunwa na wanaume wenye miraba sita.
Picha Afande Sele akiijenga ACT
Cwu @2020