SOKO LA MAGARI
Senior Member
- Oct 26, 2014
- 115
- 66
Mwalimu anahitajika,
Mwenye uwezo wa kufundisha masomo agalau 5 muhimu ya mwanafuzi wa darasa la tano,
ni baada ya mwanfuzi kutoka shuleni, saa za jioni, nyumbani maeneo ya kariakoo, Dar.
Kwa mazingira ya maeneo ya kazi na mwanafunzi pia tutafurahi kupata mwl wa KIKE.
Kwa yeyote aliye Interested anaweza PM ajitokeze hapa kwenye thread hii.
Mwenye uwezo wa kufundisha masomo agalau 5 muhimu ya mwanafuzi wa darasa la tano,
ni baada ya mwanfuzi kutoka shuleni, saa za jioni, nyumbani maeneo ya kariakoo, Dar.
Kwa mazingira ya maeneo ya kazi na mwanafunzi pia tutafurahi kupata mwl wa KIKE.
Kwa yeyote aliye Interested anaweza PM ajitokeze hapa kwenye thread hii.