Mwalimu wa Mathematics na ICT

Mwalimu wa Mathematics na ICT

John Elia

Member
Joined
Apr 18, 2014
Posts
87
Reaction score
96
Mimi mwalimu wa Mathematics na ICT, napatikana Iringa.

Nipo tayari kufanya kazi mkoa wowote. Nimehitimu shahada mwaka 2016.

Kwa mawasiliano nitafute kupitia namba hii: 0764125128
 
Habari wanajf.
Mimi mwalimu wa Mathematics na Ict, naomba connection ya kupata kazi inayohusiana na taaluma yangu. Nina shahada ya ualimu
Kazi ninazoweza fanya.

1. Kufundisha hisabati, commerce na Ict
2. Data entry
3. Kazi zinazohusisha matumizi ya kopmyuta ispokuwa programming.
4. Kufanya kazi za mitandao ya simu,

Nipo iringa kwa mawasiliano 0764125128
 
Back
Top Bottom