Distinction
JF-Expert Member
- Sep 20, 2014
- 747
- 399
Kwani wewe ulitaka nimtusi kama yeye alivyonitusi eti? Kumbuka yeye ndo alianza kutudhihaki sisi tuliosomea ualimu kwamba tunazidiwa na wao ambao hawajasomea ualimu. Ndo tukamtahadharisha kwamba hata afanyeje hataajiriwa serikalini kama mwalimu hata kama anafaulisha.
Kaka mbona umekua mpole ghafla? au kwa kutishiwa photostudio, maduka ya nafaka na 40 kwa siku?
anyway haikuwa na haja ya kuweka mabishano yote ayo , out of topic...
Jf ya siku izi ukisoma topic na yatakayoendelea ad mwisho ni vitu viwil tofaut kabisa, znazalishwa subtopic za mipasho kwa wing..
jamaa alipaswa kushauriwa na sio kumpa kejel na manenos ya kukatishana tamaa.
majukwaa yapo yanayohusika na mipasho nadhan ndo sehemu husika.
kamanda kama n jeneza umepgilia msumari wa mwisho mi nashangaa sn ndugu zetu walmu cjui inferiority complex inawatesa,hvi kaka kufundsha nako n inshu ya kusema uingie darasan malectr wa university mbona weng wao hawakuwa walmu,nkawapa mfano wa kenya ambako hakuna cha uprfsn wote mnaomba kaz je wao n wajnga? Wanadai nan kanambia nsisome ualmu sasa cjui wanataka wote tusomee ualmu,mwngne ananambia serikaln spat sasa cjui wanaona ufahal kuwa serikaln huu ujnga huu,pia mi nmetaka kaz mwenye nayo aseme sasa yanakuja majtu cjui n wivu yanaleta porojo,na kwa taarifa nmepgiwa cm kuna shule ya mission moshi wanahtaj huduma yng,kngn wanakmblia kunambia ktaa ktaniua utazan kwamba kila atafutae kaz ana njaa au hana mbele wala nyuma huu ujnga huu.
Hapana mkuu. we umetumia busara.. sana katika majibizano ila ila yeye ndo amepanic kutokana na majibu ya wadau wengne
Ndo shida ya watanzania, mnataka kuniambia watu wote waliosomea ualimu wanajua kufundsha? Nenden shule nyng za mission na bnafs muone je wanaofundsha wote na walimu by professional na je hzo shule znafanya vyema? Kenya graduate wote wanaruhusiwa kuomba ualimu hakuna ubaguz je wanafanya vzuri elimu yao? Sku hzi majtu yanakwenda ualmu,jeshi kupata kaz tu bt c kwamba wanaweza fundsha kuzd wale ambao hawakusoma ualmu, kngne course ya ualmu ina ktu gan kpya cha kumfanya asomae ajue kufundsha darasan na wanafunz wafaulu? Shule za kata wamejaa walmu prfsn mbona ndo znafanya vbaya sn. Achen ujnga,kama hakuna kaz achana na post yng.
kamanda kama n jeneza umepgilia msumari wa mwisho mi nashangaa sn ndugu zetu walmu cjui inferiority complex inawatesa,hvi kaka kufundsha nako n inshu ya kusema uingie darasan malectr wa university mbona weng wao hawakuwa walmu,nkawapa mfano wa kenya ambako hakuna cha uprfsn wote mnaomba kaz je wao n wajnga? Wanadai nan kanambia nsisome ualmu sasa cjui wanataka wote tusomee ualmu,mwngne ananambia serikaln spat sasa cjui wanaona ufahal kuwa serikaln huu ujnga huu,pia mi nmetaka kaz mwenye nayo aseme sasa yanakuja majtu cjui n wivu yanaleta porojo,na kwa taarifa nmepgiwa cm kuna shule ya mission moshi wanahtaj huduma yng,kngn wanakmblia kunambia ktaa ktaniua utazan kwamba kila atafutae kaz ana njaa au hana mbele wala nyuma huu ujnga huu.
Sema ndo, icho mkuu watu wanashndwa kujielewa, kufundisha sio lazma usomee.
nina malecture weng ni walimu wa vyuo lakin hawana ethc za ualimu!
tanzania ni yetu wote tusibaguane
ndugu hvi mi kuna kbaya gani nlchoandka? Pia n wapi nlpoandka nataka serikaln huo n ulmbuken tu, mi nmetaka kaz nashangaa nashambuliwa na majbu ya kuwa na njaa mara why cjasoma ualmu,sasa waltaka niwajbu nn?
Basi kama kila msomi anaweza kufundisha kozi ya ualimu iondolewe basi, pelekeni hili pendekezo kwenye katiba pendekezwa.
unajua qualities of a good teacher?unaijua syllubus?unaijua scheme of work?unaifah log book,lesson plan, na lesson notes?unazijua teaching aid?unazijua teaching and learning material? unafaham SMART?unafaham qualities of a good teachers.dogo teaching is a proffesion like other proffesionals.usidandie gar kwa mbele utaumbuka.kwa walio walimu watakucheka na kukudharirisha kwa hiyo thread yako
hujui unachokizungumzia au ndo nyie mliekuwa vilaza shulen na sasa mmeishia kuomba tempo mashuleni