Mwalimu nae akatoka darasani na kwenda kumweleza Mwl mkuu. Ikabidi warudi wote darasani. Nae(mwl mkuu) alipowauliza, majibu yalikuwa yale yale. Ikabidi amwite mwalimu wa somo nje na kumuuliza kimya kimya eti "unauhakika aliyemuua huyo Mkwawa yupo darasa hili hili?" sjui kilichoendelea.