Mwalimu Nyerere na Mfumo wa "KISHETANI".

Mwalimu Nyerere na Mfumo wa "KISHETANI".

Mwakiluma

Senior Member
Joined
Jan 23, 2012
Posts
120
Reaction score
47
Nyerere katika hotuba yake aliuelezea mfumo wa kuficha Mali nje ya nchi kama mfumo wa KISHETANI. Katika hotuba yake alisema...namnukuu
"Mfumo gani huu mfumo wa kishetani, unatoa mali kwa maskini unapeleka kwa matajili. Tunao waswahili ambao jambo la kijinga likitamkwa kwa kizungu linaonekana lina maana sana. Tunaona tabu sisi kuungana na mkabili mwenye nguvu wakati wenye nguvu wanaungana kumkabili mnyonge. Kama kunamtu anastahili kuuonea haya muungano basi ni mwenye nguvu. Ili kweli uweze kuendelea in freedom lazima utumie kilicho chako".
My take.
Huyu mtu alikuwa anaona mbali sana. Mambo haya ya mabilioni ya uswisi si ndio haya. R.I.P baba wa taifa.
 
^^
Hata ndani siku hizi tumebaki kutazama tu utadhani vikatuni..tazama ardhi inavyotolewa kama zawadi.
^^
 
.....Mungu iilaze mahali pema peponi roho yake, tutaendelea kumkumbuka hadi wakati wa kuondoka kwetu!!!!
 
Dah!

Yaani kuelezea tu kuwa mfumo wa kutoa mali kutoka nchi tajiri kwenda nchi masikini ni ushetani ndiyo anaonekana kuwa na maono?!

Mbona hata wavuta bangi marastafarian walikuwa wakiimba kauli zinazofanana na hiyo ya nyerere au nao walikuwa na maono pia?!
 
acha kukashifu imani za watu mkuu. we ni nani hasa na una uhakika gani kama imani yako ndio sahihi?



Dah!

Yaani kuelezea tu kuwa mfumo wa kutoa mali kutoka nchi tajiri kwenda nchi masikini ni ushetani ndiyo anaonekana kuwa na maono?!

Mbona hata wavuta bangi marastafarian walikuwa wakiimba kauli zinazofanana na hiyo ya nyerere au nao walikuwa na maono pia?!
 
Dah!

Yaani kuelezea tu kuwa mfumo wa kutoa mali kutoka nchi tajiri kwenda nchi masikini ni ushetani ndiyo anaonekana kuwa na maono?!

Mbona hata wavuta bangi marastafarian walikuwa wakiimba kauli zinazofanana na hiyo ya nyerere au nao walikuwa na maono pia?!



Nyerere katika hotuba yake aliuelezea mfumo wa kuficha Mali nje ya nchi kama mfumo wa KISHETANI. Katika hotuba yake alisema...namnukuu
"Mfumo gani huu mfumo wa kishetani, unatoa mali kwa maskini unapeleka kwa matajili. Tunao waswahili ambao jambo la kijinga likitamkwa kwa kizungu linaonekana lina maana sana. Tunaona tabu sisi kuungana na mkabili mwenye nguvu wakati wenye nguvu wanaungana kumkabili mnyonge. Kama kunamtu anastahili kuuonea haya muungano basi ni mwenye nguvu. Ili kweli uweze kuendelea in freedom lazima utumie kilicho chako".
My take.
Huyu mtu alikuwa anaona mbali sana. Mambo haya ya mabilioni ya uswisi si ndio haya. R.I.P baba wa taifa.


Sideeq

Ukitaka kujuwa unajibu kwa chuki binafsi na wala huelewi unaandika nini angalia ulichoandika hasa nilipopigia misitari kwenye red.

kisha linganisha na nilipopigia mistari kwenye hoja halisi kwenye blue.

Chuki hazijengi wa kusaidi na huwezi pata thawabu...................
 
Dah!

Yaani kuelezea tu kuwa mfumo wa kutoa mali kutoka nchi tajiri kwenda nchi masikini ni ushetani ndiyo anaonekana kuwa na maono?!

Mbona hata wavuta bangi marastafarian walikuwa wakiimba kauli zinazofanana na hiyo ya nyerere au nao walikuwa na maono pia?!

Roho hizi zimejaa nguvu za kishetani sana..
 
Nyerere alikuwa mtu tofauti, huwezi kumfananisha na marastafari.
 
Back
Top Bottom