GE2025 Mwalimu Nyerere hakutaka siasa za matusi

Matukio, Taarifa, Habari na Mijadala ya Wananchi WAKATI wa Mchakato wa Uchaguzi Mkuu 2025

Mafyangula

JF-Expert Member
Joined
Jan 16, 2025
Posts
505
Reaction score
887
Vijana wametakiwa kuitunza amani ya taifa na kufuata siasa safi isiyokuwa na matusi ikiwa ni njia ya kumuenzi hayati baba wa taifa Mwalimu Julias Nyerere.
Your browser is not able to display this video.
 
Mahubiri ya amani ni janja iliyopitwa na wakati, mnataka amani kwa amani gani iliyopo nchini? Watu siyo mazumbukuku acheni kuchezea akili za watu.
 
Vijana wametakiwa kuitunza amani ya taifa na kufuata siasa safi isiyokuwa na matusi ikiwa ni njia ya kumuenzi hayati baba wa taifa Mwalimu Julias Nyerere.
Watekaji, wezi wa kura na wauaji huwaoni? Chawa wa hovyo msio na akili mnaharibu nchi na vizazi vyenu vijavyo, wapuuzi sana nyie
 
Malaya ni tusi ?

Yaani kwa ufupi mama yako nikimuita malaya ninakuwa nimetoa tusi ?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…