Kwanini unaomba nafasi ya kufundisha wakati proffession yako sio mwalimu..ungekuwa unapenda kufundisha ungesomea ualimushalom wanajukwaa
habari za humu wakuu,samahani mimi ni kijana wa umri wa miaka 28 nipo mwanza na ni mhitimu wa shahada ya sosholojia mwaka 2014,nmekuja hapa kuomba namna au kazi popote nchini tanzania iwe kufundisha hasa masomo ya historia,jiografia,civics/general study or development study na compyuter studies pamoja na kiswahili au shughuli yoyote halali itakayolinda utu wang
napatikana kwa namba 0758502366
nawasilisha
Ulitakiwa ujibu swali lake, huwezi jua kama una vigezo unaweza pata part timeni muda mkuu lakin asante kwa reply yako
Huitaji kuwa mkali we ulieandika utaelewa ila wasomaji hatukuelewa umesema Umesoma tu sociology hukusema kama ulishafundisha haya kila laheri, tembelea shule za private upeleke Cvmkuu una maanisha nilicholiandika hujakielewa au?
anyway kwa muda mrefu nmefundsha kama mwalimu na sikuwahi kufanya kazi nyingne lakini pia ukipata ufahamu kuhusu course yang its multi-purpose nje ya uzoefu nikukumbushe pia kuwa hapa nimekuja kuomba msaada wa namna gani naweza kuendesha maisha yang through taaluma yang kama unaona huwezi kufanya hilo pita tu ndugu siyo kesi wala siyo deni"
thanks
mkuu una maanisha nilicholiandika hujakielewa au?
anyway kwa muda mrefu nmefundsha kama mwalimu na sikuwahi kufanya kazi nyingne lakini pia ukipata ufahamu kuhusu course yang its multi-purpose nje ya uzoefu nikukumbushe pia kuwa hapa nimekuja kuomba msaada wa namna gani naweza kuendesha maisha yang through taaluma yang kama unaona huwezi kufanya hilo pita tu ndugu siyo kesi wala siyo
Mkuu wewe umesomea sociology hujasomea ualimu nasio mwalimu na huna sifa za kutufundishia watoto wetu..kilichotakiwa ungetupa experience yako kama ulishawahi kufanya kazi ya kufundisha huko nyuma ili mtu anayesoma thread yako hapa ajue we ni mtu gani na unauzoefu kiasi gani kwa hiyo kazi unayoitaka..alafu unadai unaomba ualimu sababu course yako sociology ni multi-purpose..ar u serious...???tangu lini sociology ni multi-purpose na ni multi-purpose kwenye nini na nini...??..Ok kama ni multi purpose nenda kajaribu kuomba na kazi nyingine huko za udaktari,kilimo,engineering,uhasibu na usisahau kwenye cv yako waandikie umesoma sociology ambayo ni multi-purpose huku kwenye ualimu hatukutaki coz unavyoonekana wewe unakuja huku sababu umekosa kazi kwenye hiyo field uliyosomea huna mapenzi ya dhati na tasnia nzima ya ualimumkuu una maanisha nilicholiandika hujakielewa au?
anyway kwa muda mrefu nmefundsha kama mwalimu na sikuwahi kufanya kazi nyingne lakini pia ukipata ufahamu kuhusu course yang its multi-purpose nje ya uzoefu nikukumbushe pia kuwa hapa nimekuja kuomba msaada wa namna gani naweza kuendesha maisha yang through taaluma yang kama unaona huwezi kufanya hilo pita tu ndugu siyo kesi wala siyo deni"
thanks
Ha ha ha ha ha ha ha ha ha teacher umenchekesha akaombe udaktari, u engineer lolMkuu wewe umesomea sociology hujasomea ualimu nasio mwalimu na huna sifa za kutufundishia watoto wetu..kilichotakiwa ungetupa experience yako kama ulishawahi kufanya kazi ya kufundisha huko nyuma ili mtu anayesoma thread yako hapa ajue we ni mtu gani na unauzoefu kiasi gani kwa hiyo kazi unayoitaka..alafu unadai unaomba ualimu sababu course yako sociology ni multi-purpose..ar u serious...???tangu lini sociology ni multi-purpose na ni multi-purpose kwenye nini na nini...??..Ok kama ni multi purpose nenda kajaribu kuomba na kazi nyingine huko za udaktari,kilimo,engineering,uhasibu na usisahau kwenye cv yako waandikie umesoma sociology ambayo ni multi-purpose huku kwenye ualimu hatukutaki coz unavyoonekana wewe unakuja huku sababu umekosa kazi kwenye hiyo field uliyosomea huna mapenzi ya dhati na tasnia nzima ya ualimu
Ndugu,shalom wanajukwaa
habari za humu wakuu,samahani mimi ni kijana wa umri wa miaka 28 nipo mwanza na ni mhitimu wa shahada ya sosholojia mwaka 2014,nmekuja hapa kuomba namna au kazi popote nchini tanzania iwe kufundisha hasa masomo ya historia,jiografia,civics/general study or development study na compyuter studies pamoja na kiswahili au shughuli yoyote halali itakayolinda utu wang
napatikana kwa namba 0758502366
nawasilisha
Ndugu,shalom wanajukwaa
habari za humu wakuu,samahani mimi ni kijana wa umri wa miaka 28 nipo mwanza na ni mhitimu wa shahada ya sosholojia mwaka 2014,nmekuja hapa kuomba namna au kazi popote nchini tanzania iwe kufundisha hasa masomo ya historia,jiografia,civics/general study or development study na compyuter studies pamoja na kiswahili au shughuli yoyote halali itakayolinda utu wang
napatikana kwa namba 0758502366
nawasilisha
Ha ha ha mkuu huyu course yake aliyosoma anadai ni multi-purpose inafit kila sehemu so bora aende na huko ha ha haHa ha ha ha ha ha ha ha ha teacher umenchekesha akaombe udaktari, u engineer lol
Mkali, labda ni stress za kutokua na kaziMimi ni HR by professional.Mleta mada kutokana na majibu yako hapo juu.Atakekupa kazi labda awe ndugu yako wa kuzaliwa.Kujieleza hujui,unaulizwa kwa busara unajibu kwa ukali.
Ushauri wangu kwako please learn how to sell yourself to the employment market.Zingatia kuwa wanunuzi ndo hawa humu humu Jf.
Hapana anashauriwa mana alivyoianza thread yake ndo tabuhuu uzi utapanda upinzani hasa kutoka kwa walimu By professional