Mwalimu Mathematics na ICT anahitajika

Miki123

JF-Expert Member
Apr 27, 2018
288
502
Kama una degree ya elimu kwa masomo ya hisabati na tehama basi wasiliana na wahusika kwa njia ya ujumbe mfupi kwa namba zifuatazo.

0625 79 50 72

Kikubwa uwe na uwezo kwa masomo tajwa hapo hasa tehama.

Shule ni ya binafsi ipo dar es salaam
 
Mkuu ukitaka Physics na ICT nistue kuna binamu yangu.
 
Na kama shule yenu itahitaj vifaa vya maabara usisite kunishtua kwa namba 0717 550291. Karibu
 

Similar Discussions

Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…